TEGETA SDA

TEGETA SDA

MATANGAZO YA SABATO YA TAREHE 04/05/2013



1. Tunamshukuru sana Mungu kwa kutulinda kwa wiki nzima hadi Sabato ya leo. Tunawakaribisha wageni kwa wenyeji katika Ibada ya leo.

2. Makambi ya mtaa yanaanza 21-27/07/2013; tutoe michango yetu (50,000/) kwa njia ya bahasha, muda unaisha., na kupitia vikosi vyetu vya S.S, waalimu sisitizeni hilo.

3 LEO ni Sabato maalum kuchangia ujenzi wa nyumba ya mchungaji, Goli letu ni kukusanya fedha si chini ya Milioni Ishirini (Tshs 20,000,000/=). Kanisa letu Goli letu ni 8,800,000/ tushiriki katika jukumu hili takatifu kwa ukamilifu.

4. Kesho j.pili 05/05/13 kutakuwa na semina ya Uwakili na majengo .semina itaendeshwa na mch.T.Kusaga toka ETC.Muda saa 2.00-8.00.Wahusika:- Viongozi wa uwakili,Majengo,wakaguzi wa mali ya Bwana,wahazini,wazee wa kanisa,na washiriki wote wanakaribiswa pia. Kula breakfast ya nguvu au njoo na kipoaza njaa

5. Sadaka maalum ya kusaidia uanzishwaji wa Runinga (TV) ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania, Inaendelea kukusanywa tunahimizwa kila mtu achangie angalau Sh. 10,000/- goli la kanisa letu ni Sh. 3,300,000/-,bado hatujalifikia. Runinga itazinduliwa Juni, 2013.

6. Sensa ya washiriki inaendelea katika Tanzania Union.kila mshiriki hakikisha kuwa kama ushirika wako haupo katika kanisa unalosali,wasiliana na karani wa kanisa ili kuagiza ushirika wako,vinginevyo baada ya miezi 3,washiriki wasiojulikana wataondolewa katika vitabu vya Ushirika

7. Tunawakumbusha washiriki kuendelea kutimiza ahasi zenu kwa kuchangia ununuzi wa vitabu vya “Tumaini Kuu” Lengo ni kununua vitabu 610,000 na zaidi katika awamu hii. Kila kitabu ni 2000/ tu

8. Maombi ya Jumatano asubuhi yanaendelea saa 11:00 asubuhi, na jioni tunawaalika wote kushiriki

9. Mzee wa kanisa na Mchungaji msaidizi; Mzee Damba Omara, atakuwa likizo ya kikazi, na kwa wiki mbili, kuanzia jumapili atakuwa safarini Mwanza na Musoma. Tumuombee.

10. Kupitisha majina ya wanakwaya, walioomba kuimba 2013. (karani Anania Masasi)

11. Uhamisho: (Mara ya 2 na kupitishwa)

-          Fridson Mkama (554) toka Tegeta kwenda Salasala, DSM

-          Anastanzia Mkama (70) toka Tegeta kwenda Salasala, DSM

-          Paschal Mabula (984) toka Tegeta kwenda Makoko, Musoma

12. Tanzia:

-          Mchungaji J.R.Nyaibago alifiwa na shemeji yake, amerudi kutoka Musoma  
tuikumbuke familia yake katika maombi na tuwatembelee

-          Jirani yetu na kanisa, pia mshiriki wa  Muheza SDA Church, Tanga, kafiwa na baba mkwe, amesafiri (ijumaa), kwa mazishi, atarudi jumatatu, tumuombee na kumtembelea.

13. Zamu:
-          Mzee wa zamu: Mzee Richard Barikesha
-          Shemasi mkuu wa zamu: Rafiki Msuya
-          Mashemasi wa Zamu (Someni Ubaoni zamu zenu)
-          Mpiga Kinanda wa zamu: Faraji Nyizigie

14. Utaratibu wa Sabato ya leo—Tarehe 04.05.2013

TUKIO
WAKUBWA
WATOTO
Mhubiri
MCH. TOTO KUSAGA (ETC)
NDG JOSEPH KALEB
Mwenyekiti
MZEE AMONI MZAVA

Utambulisho
MCH. J. R. NYAIBAGO

Fungu Kuu na Ombi
DR. D. TIBUHWA

Taarifa/Majengo/Mtaa
NDG. ALEX MAFURU

Sadaka & zaka
NDG. FREDRICK SYLEVESTER

Ombi la Mwisho
MZEE S.I.M. KAPAYA

Matangazo
MZEE DAMBA OMARA

Kufunga Sabato
NDG. GEOFREY MPEMBENI


15. Utaratibu wa Sabato ijayo—Tarehe 11.05.2013

TUKIO
TEGETA
WATOTO
Mhubiri
MZEE JOSEPH MSUYA
S.I.M.KAPAYA
Mwenyekiti
NDG. ANANIA MASASI

Ombi na Fungu Kuu
NDG. BAMBINO P. NYAMBITA

Sadaka/Zaka
MZEE R. BARIKESHA

Maombi J5 (Jioni)
MZEE R.BARIKESHA

Maombi J5 (Asubuhi)
MZEE R.BARIKESHA

Kufungua Sabato
NDG. GEOFREY MPEMBENI

No comments

Powered by Blogger.