TEGETA SDA

TEGETA SDA

MATANGAZO YA KANISA YA SABATO YA TAREHE 17/08/2013

MATANGAZO YA KANISA: 17/08/2013
1.      Tunamshukuru na kumtukuza Mungu wetu kwa neema na mibaraka yake, tunamshukuru kwa kutupa makambi mwaka huu. Wageni kwa wenyeji karibuni katika kanisa la Mungu na Ibada takatifu.

2.      Tunamtukuza Mungu kwa kanisa kupata washiriki wapya waliompokea Yesu na kubatizwa (idadi….), KUWAPOKEA.
3.      Tunamshukuru Mungu, wana wa kike walioenda Kigali Rwanda kwenye mkutano wa Neno la Mungu wamewasili salama. [Egla Mugeta,Tupo Makama na Upendo Maingu]
4.      Mch. J.R.Nyaibago: Kamati za makambi, yaliyomalizika andaeni taarifa kwa ajili kuzileta katika katika kikao cha mtaa. Kikao cha mtaa cha kawaida kwa robo kitafanyika Sept. 1, 2013  katika kanisa la madala.
5.      Leo, mchana saa 8:00, tutakuwa na washa (semina), juu ya mawasiliano, Idara ya mawasiliano itawasilisha mada walizofundishwa huko Rombo Green View Hotel.
6.      Tutakuwa na baraza la kanisa, kesho tarehe 18/08/2013, wajumbe andaeni mipango na taarifa za kazi. Tuhudhurie kwa wakati.
7.      Wagonjwa: Mama Daktari Andrew …, amefanyiwa upasuaji, hospitali ya Lugalo, tumuombee na kumtembelea ili kumfariji.
Bi Joyce /Malima Martin, anaumwa, washiriki tunombwa tumtembelee kwake, Nyaishozi (chasimba?) na kumfariji.
8.      Tanzia: Mama Damba Omara, emefiwa na baba yake mdogo, amesafiri, alhamisi, tumuombee safarini na kuifariji familia.

9.      Matoleo: ya sabato iliyopita ni:…………………………………….
Nyumba ya mchungaji:
·         Ahadi 9,000,000/,
·         Matoleo, 4,670,850/ (48%),
·         Baki, 4,329,150/ (52%),
     Tumalizie ahadi zetu.
10.  Zamu: Mzee wa zamu;     Mzee Eraga Mjuli. Shemasi Mkuu wa zamu, Mzee Elia Kenani.
11.  Ratiba Fupi ya Wahudumu:
HUDUMA HUSIKA
MHUDUMU (SABATO LEO, 17/08/2013)
MHUDUMU (SABATO IJAYO, 24/08/2013)
Mhubiri
(Watoto)
Bi. Rahabu Morro
Bi. Upendo Maingu
Mhubiri (Wakubwa)
Mwj. Saganga Kapaya
Ndg. Daudi Kubhoja
Mwenyekiti
Ndg. John Kamuli
Mzee B.I.Morro
Fungu Kuu na Ombi
Mzee Elia Kenani
Mzee Damba Omara
Sadaka & zaka
Ndg. Daudi Kubhoja
Ndg. Anania Masasi
Kufunga Sabato
Ndg. Enock Nyange
Mzee John Kamuli
Jumatano (Asb)
Bi. Betty Kerenge
Mzee Zihirwani Chikira
Jumatano (Jioni)
Mzee Eraga Mjuli
Ndg. Anania Masasi
Kufungua Sabato
Ndg. Geofrey Mpembeni
Ndg. Daudi Kubhoja


Ahsanteni, Mungu Awabariki!

No comments

Powered by Blogger.