TEGETA SDA

TEGETA SDA

MATANGAZO YA KANISA LEO 10 FEBRUARI 2018






KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO TEGETA
P.O.BOX 66707 DAR ES SALAAM
TANZANIA
MATANGAZO YA KANISA
TAREHE 10/02/2018
  Ratiba ya vipindi vya Leo

            Saa 02.00 ~ 03.00   Darasa la Waalimu
            Saa 03.00 ~ 03.15   Nyimbo za Kikristo
            Saa 03.15 ~ 04.40   Shule ya Sabato
            Saa 04.40 ~ 04.50   Huduma za Washiriki
            Saa 04.50 ~ 05.00   Matangazo ya Kanisa
            Saa 05.00 ~ 06.30   Ibada Kuu
            Saa 07.00 ~ 08.00   Mapumziko
            Saa 08.00 ~ 10.00   Somo Maalumu
            Saa 10.00 ~ 12.00 Kipindi cha Maidara
            Saa 12.00 ~ 12.30 Kufunga Sabato 


TUNAWAKARIBISHA Wageni na Wenyeji wote katika ibada ya leo.

1.   Makambi ya mtaa wa Tegeta na Bunju yatafanyika tarehe 21 – 28/07/2018 kanisani Bunju. Goli letu la matumizi ya kambi ni shilingi 3.5M tunaomba kila mshiriki aendelee kuchangia shilingi elfu 25 ili kutimiza goli.

2.    Mahubiri ya MAISHA HATIMAYE yataanza leo jioni tarehe 10.02.2018 hadi 03.03.2018 jijini Mbeya. Tutakuwa na vituo 4 navyo ni: Tegeta Nyuki Stendi, Mkanada, Salasala na Kanisani. Mahubiri yataanza saa 12 jioni hadi saa 2 usiku. Ving’amuzi vitakavyotumika ni TING na Continental. Wasimamizi wa vituo ni kama ifuatavyo:
  1. Kanisani: Mwinjilisti Ismail Mbondo na Mzee Amosi Obadia
  2. Nyuki Stendi: wainjilisti; Challo Zacharia, Hekima Lawi, Hamisi Husein na Lemi Mogasa, Mzee Tenga Bill Tenga, Mzee Robert Nyasebwa na Mzee Stanley Kilave
  3. Mkanada: Wainjilisti; Christopher Japhet na Anania Barikulije, na Mzee Ombeni Elly
  4. Salasala: Wainjilisti: William Dede na Raymond Leopard, kiongozi wa Atape Thomas Odilla na Mzee Maingu Jandwa.
     Wiki ya kwanza Kwaya ya kanisa itahudumu kituo cha Nyuki, Glory land Singers- Mkanada na Rise and         Shine- Salasala.
3.   Juma la kaya na familia limehairishwa mpaka hapo litakapotangazwa tena.
4.  Viongozi wa vijana watapita kwa  mshiriki mmoja mmoja kuomba mchango wa chakula cha kambi la watafuta njia na mabalozi litakalofanyika Kilosa mwezi wa 6, kwa kutumia kadi maalum za mchango. Wapeni  ushirikiano.
5.   Zoezi la kupiga picha ili kukamilisha usajili wa washiriki katika mfumo wa kutunza kumbukumbu za washiriki ACMS litaendelea leo mchana. Tunaomba mtoe ushirikiano ili kumaliza zoezi hili.

6.      VIKAO
           i.       Kesho tarehe 11/02/2018 kutakuwa na kikao cha mkutano mkuu wa kanisa kuanzia saa 12:30 hadi saa 2 asubuhi, mkutano huu utatanguliwa na maombi yatakayoanza saa 12:00 asubuhi, yataendeshwa na Mch. Stephen Letta. Washiriki  mnaalikwa kuhudhuria kwa wakati. Kwaya na Vikundi vyote vihudhurie.
         ii.      Leo Jumamosi 10.02.2018 saa 8 mchana kutakuwa na kikao cha Kanda cha Viongozi wa Vijana hapa kanisani Tegeta. Wahusika ni Viongozi wa vijana wote makanisani.

7.      UNUNUZI WA KIWANJA
Tumekamilisha ununuzi wa kiwanja awamu ya kwanza na ya pili jumla ya sh. 65M, sasa tunaanza kuchangia  awamu ya tatu, sh. 35M, mwisho wa kuchangia ni mwisho wa Mwezi wa 4. Tuendelee kuchangia kupitia akaunti zifuatazo.

      NBC BANK
                JINA: KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO
               NAMBA: 086103000573
      M-PESA
                JINA: TEGETA SDA CHURCH
                NAMBA: 0752 680 875

8.      UHAMISHO (inasomwa mara ya Kwanza)
S/N
Jina
Anakotoka
Kwenda/Kuja
1
Elisha Nkaina
Tegeta
University
2
Anna Peter Salewa
Tegeta
Karakata
3
Otieno Otuoma
Tegeta
Kibiti
4
Dina George
Tegeta
Mbezi Beach
5
Paul Mang’ala
Ntuzu
Tegeta







9.      Viongozi waliochaguliwa na Baraza la kanisa kujaza nafasi zilizoachwa wazi:
                    i.            Kiongozi wa Afya: Robert Nyasebwa
10. Kamati ya Atape: Mchungaji, Mratibu wa ATAPE, Mkuu wa huduma, Mkuu wa uwakili, Mkuu wa mawasiliano, Mkuu wa elimu na Mkuu wa afya.
11.  Leo mchana kuanzia saa 8 hadi saa 10 kutakuwa na program maalum ya uimbaji ya kwaya ya kanisa. Wote mnaalikwa kushiriki program hiyo, pia mtapata nafasi ya kutoa maoni na ushauri namna ya kuboresha kwaya yetu.
12.  Semina ya idara ya wanawake  itafanyika leo saa 8:30 mchana hadi saa 11:30. Kesho saa 02:00asubuhi hadi saa 07:30 mchana kutakuwa na semina ya idara ya elimu na watoto, semina zote zitafanyika kanisani Magomeni.
13.  Wagonjwa: Mary Kenani anaumwa, yupo Nyumbani tumtembelee na kumpa pole.
14.  Tanzia: Melvin Julius amefiwa na Mjomba wake, wamesafirisha msiba jana kuelekea Shirati-Musoma, yeye hajasafiri, tumtembelee na kuomba naye.
Wahudumu Sabato ya Leo
Huduma
WAKUBWA
WATOTO
Mhubiri
Pr Stephen Letta
Loveness Mcharo
Mwenyekiti
Stanley Kilave
Nyabuki Musiba
Fungu & Ombi
Reuben Mbonea
Ellenmema Lomay
Zaka & Sadaka
Reward Elly
Tatu Elisha
Kufunga Sabato
Peter Makubi Machumu

 Wahudumu Juma Lijalo
Huduma
WAKUBWA
WATOTO
Mhubiri - Sabato
Stanley Kilave
Madama Longo
Mwenyekiti
Ombeni Elly
Joshua Fabian
Fungu & Ombi
Shengena Raphael
Willington Naseeb
Zaka & Sadaka
Nehemia Wambura
Nicas Joshua
Ibada ya J’Tano
Pr Stephen Letta

Kufungua Sabato
Jonathan Mselli

Kufunga Sabato
Jemima Hosea


Mzee wa Zamu: Robert Nyasebwa
Mashemasi wa zamu: Zihrwan Chikira, Janeth Joash, Rose Fabian Paul, Emanuel Erasto, Mashauri Thomas, Regina Jackson, Christopher Japhet, Daniel Julius

Shemasi mkuu: Elias Kubhoja
Karani wa zamu: Isack Webi

HUDUMA YA UIMBAJI

SABATO YA LEO
SABATO IJAYO
Shule ya Sabato
Gloryland Singers
Rise and Shine
Sadaka
Rise and Shine
Gloryland Singers
Huduma Kuu
Tegeta Choir
Rise and Shine
Kutawanyika
Gloryland singers
Tegeta Choir
Kufungua Sabato
  

Kufunga Sabato


No comments

Powered by Blogger.