TEGETA SDA

TEGETA SDA

MATANGAZO YA KANISA YA SABATO YA TAREHE 07/09/2013



MATANGAZO YA KANISA: 07/09/2013
1.       Tunamshukuru na kumtukuza Mungu wetu kwa neema na mibaraka yake, Wageni kwa wenyeji karibuni katika kanisa la Mungu na Ibada takatifu.

2.       Effort yetu ya mtaa itaanza 5-19/10/013.Tafadhali tuendelea kutoa michango yetu ili kukamilisha na kufanikisha effort hiyo. Tutachangia 4,000,000/
3.       Kesho, tarehe 8/9/2013, saa 2:00 asubuhi mpaka saa 8:00 mchana, Mtaa wetu wa Tegeta, tutakuwa na ugeni maalumu kutoka, G.C. (Mashauri kuu ya Kanisa),  Makamu mwenza wa mwenyekiti wa G.C. Mch. Geofrey Mbwana, atakuja kuweka jiwe la msingi la Nyumba la Mchungaji. Tunawaalika kushiriki tukio hili muhimu.
4.       Kutakuwa na kikao cha kuandaa mahubiri katika miji mikubwa kitakachofanyika Ilala kanisani 14/09/13 saa 9 alasiri. Tafadhali viongozi wa huduma pamoja na wazee wanaoshugulika na idara hiyo wahudhurie bila kukosa  ni cha Muhimu sana
5.       Tuandae taarifa zote za robo ya 3 na  ziletwe kwa mchungaji mwisho Tarehe 15/09/13. Robo hii ya tatu
6.       Makongamano:
v  Kutakuwa na kambi la Vijana (Masterguide Convention), Kampala, Bugema University. 
   4-8/12/20013.
v       Kutakuwa na kongamano la muziki, Kampala, Bugema University. 9-15/12/20013,
Kwa maelezo zaidi kuhusu matukio haya
Ø  tembeleeni, wavuti ya divisheni: http://www.ecd.adventist.org  
Ø  waone Mzee wa Kanisa wa vijana Joseph Msuya na Ndg. Isaac Webi.
Ø  Vijana wote munahimizwa kurudi mchana kwa ajili ya mafunzo ya master guide. (vipindi vya maidara, saa 10:00)
7.       Leo saa 8:00 mchana tutakuwa na kipindi cha mafundisho ya unabii, na Mwinjilisti Saganga Kapaya. Karibuni.

8.       Wagonjwa:
a.       Bi Upendo Maingu anaumwa, yuko nyumani, tumtembelee
b.       Bi Chiku Charles Nyangi amepatwa na ajali ya kuangukiwa na geti (ameumia sana), Yuko nyumbani, Bunju.
c.        Mama Laurent Masumbuko, anaumwa, alilazwa.
Ø  tuwatembelee na kuwaombea wangonjwa wote ili kuwafariji

d.       Tunamshukuru Mungu, Familia ya Ndg Alex Mafuru, wamerudi kutoka India kwa Matibabu, Mungu atukuzwe.

9.       Tanzia:
a.       Familia ya Laurent Masumbuko wamefiwa na binamu yao huko Kigoma, wamesafirisha kwenda Arusha. Tuwatembelee na kuwafariji.
b.       Familia ya Michael Bulemo, wamefiwa na mtoto wao mchanga. Mazishi yamefanyika, alhamisi. Tuwatembelee na kuwafariji.

10.    Matoleo: ya sabato iliyopita ni:…………………………………….  

11.    Zamu: Mzee wa zamu;             Mzee Richard Barikesha. Shemasi Mkuu wa zamu, Mzee Elia Kenani.
12.    Ratiba Fupi ya Wahudumu:
HUDUMA HUSIKA
MHUDUMU (SABATO LEO, 07/09/2013)
MHUDUMU (SABATO IJAYO, 14/09/2013)
Mhubiri
(Watoto)
Bi. Rafiki Msuya
Mzee R. Barikesha
Mhubiri (Wakubwa)
Mzee Damba Omara
Mzee B.I.Morro
Mwenyekiti
Mzee Elia Kenani
Mzee Zihirwani Chikira
Fungu Kuu na Ombi
Ndg. Anania Mndeme
Ndg. Isaac Webi
Sadaka & zaka
Ndg. Isaya Charles
Mwj. Edgar Kapala
Kufunga Sabato
Mama Egla Mgeta

Jumatano (Asb)
Mzee Eraga Mjuli

Jumatano (Jioni)
Mzee Eraga Mjuli

Kufungua Sabato
Ndg. Anania Mndeme


Ahsanteni, Mungu Awabariki!


No comments

Powered by Blogger.