TEGETA SDA

TEGETA SDA

MATANGAZO YA KANISA 25 MACHI 2017

 KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO TEGETA
P.O.BOX 66707 DAR ES SALAAM
TANZANIA
MATANGAZO YA KANISA
TAREHE 25/03/2017


TUNAWAKARIBISHA Wageni na Wenyeji wote katika ibada takatifu ya leo. Karibuni sana na Mwenyezi Mungu awabariki.

1)      Effort ya nyumba kwa nyumba iliyokuwa inafanyika  katika kundi letu kule Ilindi Dodoma kwa ushirikiano wa wanafunzi wa UDOM na mwinjilisti wetu ilihitimishwa sabato iliyopita na watu 12 wamebatizwa.

2)      Juma la maombi la vijana linahitimishwa leo. Masomo yalikuwa yakiendeshwa  na mwinjilisti Moffat.

3)      Leo ni siku maalum ya kuchangia ujenzi wa chuo cha udaktari Rwanda, kila mshiriki anaombwa kuchangia sh 5,000 na kuendelea.

4)      Leo mchana kutakuwa na ubatizo hapa kanisani.

5)      Sabato ijayo tarehe 1/4/2017 ni maalumu kwa ajili ya meza ya Bwana wote tujiandae kushiriki huduma hii muhimu.

6)      Kutakuwa na effort ya nyumba kwa nyumba itakayoanza tarehe 2 - 16/04/2017, wakuu wote wa idara na wainjilisti wote mnaombwa  kubaki baada ya ibada muonane na mkuu wa huduma.

7)      Kutakuwa na semina kuhusu ushuhudiaji hapa kanisani Tarehe 30/03/2017 hadi  tarehe 1/4/2017 kuanzia saa 10:30 - 12:30 jioni ikiwa ni maandalizi ya effort hiyo. Wote mnaalikwa kuhudhuria.

8)      Mashemasi wote wabaki baada ya ibada waonane na shemasi mkuu.

9)      Mkutano maalum wa Uwakili unaanza leo tarehe 25 - 27/03/2017 kanisani Manzese. Wahusika ni kiongozi wa Uwakili na wazee wa kanisa, Wachungaji, Kwaya ya kanisa, kwaya ya vijana na washiriki wote mnaombwa kuhudhuria mkutano huu.

10)  Kesho tarehe 26/03/2017 kutakuwa na maonesho ya vitabu (open day) kuanzia saa 3:00 asubuhi. Hapa Dar es Salaam kituo kitakuwa katika kanisa la Magomeni  na Mikocheni.

11)  Kujaza nafasi wazi.
1.      Reuben Mbonea          -           Mkaguzi wa ndani
1.      Tenga B. Tenga           -           Kiongozi wa AMO
12)  Makambi ya Mtaa yatafanyika tarehe 10 - 16/09/2017 kule Tegeta Beach. Wafuatao wamechaguliwa katika kamati mbalimbali.
1.      MAWASILIANO
1.      Isack Webi       -           M/Kiti
1.      Sauli Gwahula
1.      Junior Chikira
1.      Joshua Fabian
2.      VITI NA MAHEMA
1.      Anania mndeme -         M/Kiti
1.      Hekima Lawi
1.      Fred Maiga
   3.WATOTO
1.      Magere Mauma -          M/Kiri
1.      Upendo Maingu
1.      Esau Msyata.
Kamati zote andaeni bajeti zenu mziwasilishe kwa katibu wa mtaa fred Maiga.

13)  Kwenye ubao wa matangazo kuna orodha ya washiriki wasiofahamika walipo, wote mnaombwa kuangalia majina yenu pale, kama jina lako lipo nenda kaonane na karani wa kanisa au mjumbe yeyote kwenye kamati ya kusafisha kitabu cha washiriki.

14)  Wenyeviti wa makundi ya kuchachangia mfuko wa maendeleo ya kanisa tafadhali wasilianeni wa watu wenu ili kuweka mikakati ya kutimiza magoli yenu. Sabato ijayo tutakuwa na kikao cha pamoja na kamati ya bajeti saa 10; 00 jioni.

15)  UHAMISHO(Unasomwa mara ya kwanza)
S/N
JINA LA MSHIRIKI
ANAKOTOKA
KWENDA/KUJA
1
Joshua Fabian
UDOM WEST
Tegeta
2
Suzana Philemon Kondi
Mbezi Juu
Tegeta SDA
3
Prisca Kilongo
Tegeta SDA
Mbezi Juu
4
Ismail Mwambo
Tegeta SDA
Luguruni
5
Faraji Nyizigiye
Tegeta SDA
Miande
6
Magreth Stephano
Tegeta SDA
Mivumoni Central
7
Happy Amos
Tegeta SDA
Mtwara SDA

16)  KUPOKEA WABATIZWA Waliobatizwa kwenye mkutano uliofanyika nyuki ambao hawajapokelewa na kupewa walezi.

TANZIA: Mzee wa kanisa Maingu Jandwa amefiwa mama yake mdogo wamesafiri kwenda Musoma tuwakumbuke katika maombi

Wahudumu Sabato ya Leo
Huduma
WAKUBWA
WATOTO
Mhubiri
Mwinjilisti Frighton Mofat
Emmanuel Moffat
Mwenyekiti
Magere Mauma
Simon Gwahula
Fungu & Ombi
Stanley Kilave
Dorcas Denis
Zaka & Sadaka
Jovan Damba
Josephina Jacob
Kufunga Sabato
Hamis Mauma



Wahudumu Juma Lijalo
Huduma
WAKUBWA
WATOTO
Mhubiri - Sabato
Pr Stephen Letta

Mwenyekiti
Elias Kuboja

Fungu & Ombi
Damba Omara

Zaka & Sadaka
Keffas Lisso

Ibada ya J'Tano
Mch. Stephen Letta

Kufungua Sabato
John Kamuli

Kufunga Sabato
Junior Chikira


Mzee wa zamu: Ombeni Elly.

Mashemasi wa Zamu: Hekima Lawi, Patron Agripa, Reuben Mbonea, Magreth Sikira, Flora Yuda, Nafue Mbano na Rehema Mndeme.

Shemasi Mkuu - Amos Obadiah.

Karani wa zamu - Challo Zacharia.


HUDUMA YA UIMBAJI

25.03.2017
25 - 04/4.2017
Shule ya Sabato
Rise and Shine

Sadaka
Glory Land Singers

Huduma Kuu
Kwaya ya Kanisa

Kutawanyika
Rise and Shine

Kufungua Sabato


Kufunga Sabato
Kwaya ya Kanisa




1 comment:

  1. Asante kiongozi kuikimbuka blog yetu. Imesinzia zaidi ya miaka 3.

    Ubarikiwe

    ReplyDelete

Powered by Blogger.